Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,664
- 2,810
Hellow warembo wangu wote wa Jf wakubwa kwa wadogo habari zenu..,natumai mu wazima wa afya,ni hivii..
MCHUMBA NA HATIMAYE MKE ANAHITAJIKA..
(01). mimi ni kijana 24yrs ,living in dar es salaam
(02). student katika university moja hapa dar (about to finish)
(03). ukiachana na shule binafsi nina miradi yangu ninayoendesha (yaah nina kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kunipa akili ya kuzichungulia fursa kwakweli)
(04). mimi ni mtu nipendae mawazo chanya (sijisifu ila ndio nilivyo)
(05). Nina mapenzi ya dhati kwa nimpendaye & AM VERY ROMANTIC
(06). kwa dini mimi ni mkristo ila dini kwangu sio kigezo katika mapenzi.
(07). atakayependezwa na mimi atanifahamu zaidi
MCHUMBA NIMTAKAYE
(01). 25yrs kushuka chini
(02). Dini sio kigezo
(03). Elimu ya maisha tu inatosha sio lazima msomi wa chuo kikuu.
(04) najua warembo wangu wote wa jf ni very romantic kwahiyo hili sio swala.
karibuni PM
NB:kama sio wewe mlengwa basi waeza hata kunitagia mtu uneyedhani ana sifa nazohitaji
Ahsanteni wapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
MCHUMBA NA HATIMAYE MKE ANAHITAJIKA..
(01). mimi ni kijana 24yrs ,living in dar es salaam
(02). student katika university moja hapa dar (about to finish)
(03). ukiachana na shule binafsi nina miradi yangu ninayoendesha (yaah nina kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kunipa akili ya kuzichungulia fursa kwakweli)
(04). mimi ni mtu nipendae mawazo chanya (sijisifu ila ndio nilivyo)
(05). Nina mapenzi ya dhati kwa nimpendaye & AM VERY ROMANTIC
(06). kwa dini mimi ni mkristo ila dini kwangu sio kigezo katika mapenzi.
(07). atakayependezwa na mimi atanifahamu zaidi
MCHUMBA NIMTAKAYE
(01). 25yrs kushuka chini
(02). Dini sio kigezo
(03). Elimu ya maisha tu inatosha sio lazima msomi wa chuo kikuu.
(04) najua warembo wangu wote wa jf ni very romantic kwahiyo hili sio swala.
karibuni PM
NB:kama sio wewe mlengwa basi waeza hata kunitagia mtu uneyedhani ana sifa nazohitaji
Ahsanteni wapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app