5. Asiwe mzee sana ( age 18-30).
maskini smati.... hapo umewakosa akina Michelle!!
tumia ujana wako upasavyo kabla ukesho haujakufikia...l.o.l
Ndo nasubiri mafunzo kutoka kwa INKOSKAZ nianze kuutumia ujana wangu,yani hii ni wake up call.Sasa Hashy,nikimaliza mafunzo naweza kutafuta ili tuutumie huu ujana wote,manake sina wa kutumia nae?Natanguliza shukrani............LOL
sema hakyanani!!!!!!!!
mie sioni kama amekosea!!!
hakyinani!!!!!!!!!!!!!!!LOL
Deadline january 20 kwani nafasi ya kazi hiyo.
Hivi ilikuwaje ile posti nikaituma kwako ndio nimestuka sasa hivi baada ya kuona haya mambo mengine dah!ngoja nicheki nyota yangu inasema vipi leo bahati hizi haziji hivi hivi
Ngoja wenyewe wakusikie mimi simo bana hashykaka hujui kuolewa bahati! l.o.l
2. Awe mzima wa roho na mwil
kama huamini neno kanisani kwa kakobe, mzee wa upako, mama rwakatale ukasikilize ushuhuda....
ndio wapo walio uza nani zao , lakini yeye amesema anataka mlokole halafu awe bikira. Mimi nilivyo mwelewa ni kwamba si walokole wote wanao kwalifai kwake. Lol
kaka hujui kuolewa bahati! l.o.l
Sijawahi ya kudhamilia hata ile ya koto dhamilia. Ndio maana natafuta mshamba mwenzangu.