natafuta mchumba

Jef

Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
24
Reaction score
2
Naitwa Jef umri miaka 31( jinsia:mwanaume)natafuta mchumba umri miaka 23-31,sibagui dini,kabila,rangi,umbo wala elimu.mawasiliano:0713680829,Juma_Jafari@yahoo.com
 
au ni Jaffarai umeamua kuja jf kutafuta mwingine baada ya kupigwa chini na bibie shy
 
naona reserch uliyopiga kwa wenzako waliotuma post kama hii imesaidia jaman anatafuta na hana mashart
 
Weka cv yako wachumba wakuelewe wajimwage kwa nafasi
 
Ushauri wa bure
mke/mume mwema utoka kwa bwana huku jf utakula mikasa mpaka ujute
unless kama unatania...\\
kila la kheri
 
Ushauri wa bure
mke/mume mwema utoka kwa bwana huku jf utakula mikasa mpaka ujute
unless kama unatania...\\
kila la kheri

Hutoka kwa bwana lakini hashushwi kutoka mbinguni.
 
hahahahah wewe muombe Mungu atakupa mke upendae wewe hapa ni uzushi tuuuuuuuuuuu.
 
Nenda Afrointroductions.com wapo wengi wa kila kabila, dini,umbo n.k
 
Mmmmh,jamani unatafta mchumba JF?

Kwani miaka yote hiyo....................oooh plz!

Hope you get one
 
Hahahahahahaha jama mwani furahisha muni Add KWA FACEBOOK SHIWAWA BINSALAAN AL-JABRY AMA VP MASELA
 
Naitwa Jef umri miaka 31( jinsia:mwanaume)natafuta mchumba umri miaka 23-31,sibagui dini,kabila,rangi,umbo wala elimu.mawasiliano:0713680829,Juma_Jafari@yahoo.com

jef nimeona unamtaka jena sasa umepigwa chini nini ongeza cv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…