Natafuta mchumba

Soma aisee hatuna madaktari, unakimbilia wapi au kuna urithi unakuzuzua?
 
Tatizo mizani mibovu,ntapima uzeen kabisa.

Ila zawadi mbona umemtaja mmoja halafu aje kwako hee kwan kumpea njiani kuna nn,aah hizo ajenda zako hizoo!
Sasa itakuwaje? Hakuna kimbilio na kubaki single haiwezekani, pima mizani fasta.

Wapi emmyta? Nina zawadi yake ya siku ya wanawake duniani, tulikubaliana aifate nyumbani naona siku inakaribia kuisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…