Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Tswana14

Senior Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
167
Reaction score
73
Mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiliwa natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mke awe mkristo pia aliye na shughuli yoyote hata mfanya biashara halali umri kuanzia miaka 23 kuendelea mpaka 28 naomba km hii post haikuhusu ikaushie tu wenye nia tuwasiliane pm
 
Back
Top Bottom