ndibuka
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 204
- 300
Mie ni kijana mwenye miaka 29, elimu yangu ni ngazi ya chuo kikuu nafanya kazi katika shirika natafuta mke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe mrefu mweusi mwembamba kiasi
2. Awe mkristu wa kweli
3. Kipato na elimu sio issue sana. Kwa alie tayari anifuate pm
1. Awe mrefu mweusi mwembamba kiasi
2. Awe mkristu wa kweli
3. Kipato na elimu sio issue sana. Kwa alie tayari anifuate pm