Aargh sikuona tangazo kipindi hicho nilikua na hiyo sifa ya "Mrefu mweusi Mwembamba" sahivi nimekua kibonge kama kitufe π, mkuu ulishapata? Legeza masharti kidogoo
ππ kweli nna bahati mbaya na vijana wenzangu + Masharti magumu wanayoweka aargh, mkuu nitoe hili gundu na wanasema uzee mwisho Chalinze hivo wewe ni baby kabisaπKuna kila dalili ya kuja kuolewa na sisi wazee siku za usoni. Mara zote umekuwa ukipishana na gari la mshahara kwa vijana wenzako π
heheheh kheri ya pasaka rafikiAargh sikuona tangazo kipindi hicho nilikua na hiyo sifa ya "Mrefu mweusi Mwembamba" sahivi nimekua kibonge kama kitufe π, mkuu ulishapata? Legeza masharti kidogoo
Wewe ulishapata ?Umepata?
Huwa nahisi utakuja kuangukia kwangu kwa mara ya pili..[emoji3][emoji3] kweli nna bahati mbaya na vijana wenzangu + Masharti magumu wanayoweka aargh, mkuu nitoe hili gundu na wanasema uzee mwisho Chalinze hivo wewe ni baby kabisa[emoji3]
Ahsante, heri ya Pasaka pia rafiki,enjoyheheheh kheri ya pasaka rafiki
And I'm ready mkuu maana sielewii, ila niliskia una wake 4??
Mie ni kijana mwenye miaka 29, elimu yangu ni ngazi ya chuo kikuu nafanya kazi katika shirika natafuta mke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe mrefu mweusi mwembamba kiasi
2. Awe mkristu wa kweli
3. Kipato na elimu sio issue sana. Kwa alie tayari anifuate pm
Nivute kwaaakoAargh sikuona tangazo kipindi hicho nilikua na hiyo sifa ya "Mrefu mweusi Mwembamba" sahivi nimekua kibonge kama kitufe π, mkuu ulishapata? Legeza masharti kidogoo