Natafuta Mchumba

JF sasa imegeuka mbao za matangazo za kutafutia wenza.

Vijana siku hizi hawajui tena kutongoza!

Dunia tunapita!

Wako busy jf hawatoki nje.
Mkifanikiwa au mkishindwa mrejesho tafadhali.
 

Naunga kichwa hoja.
 
wajemeni mtu ana miaka 34 anatafuta binti wa chini ya 24???????whatsup with 10 years age difference??????:mimba:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…