Hiyo title nilidhani unatafuta gari kwa maana ya mchuma kumbe ndani sio im out.......................
umeniwahi
Hiyo title nilidhani unatafuta gari kwa maana ya mchuma kumbe ndani sio im out.......................
Dah....namimi amenipata,nilijua mchuma gari.kumbe mchumba....nami sipo kwenye hii thread... bye....bye and best of luck.Hiyo title nilidhani unatafuta gari kwa maana ya mchuma kumbe ndani sio im out.......................
Hiyo title nilidhani unatafuta gari kwa maana ya mchuma kumbe ndani sio im out.......................
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo
1. awe muislamu
2. awe mchamuungu
3. awe anapenda watu wangu
4. asiwe mpenda makuu
5. awe msikivu
nipatikana kwa anuani hii kwa maelezo ya ziada mazizini10@hotmail.com
na asizidi umri wa miaka 35.
haraka zako hadi umepoteza maana... kwani ramadhani imekaribia?
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo
1. awe muislamu
2. awe mchamuungu
3. awe anapenda watu wangu
4. asiwe mpenda makuu
5. awe msikivu
nipatikana kwa anuani hii kwa maelezo ya ziada mazizini10@hotmail.com
na asizidi umri wa miaka 35.