Natafuta mchumba

Haya mambo ya kutafuta wachumba mitandaoni ni risk, mtakuja kuoa mayezebeli.
 
Huyu mchumba anayetafutwa usiku hatari sana, isije ikawa ngenye ndio zimekutuma vibaya[emoji52], haya wachumba njoeni huku
 
hongera sana, wimbi linaongezeka tuuu
 
Haya mambo ya kutafuta wachumba mitandaoni ni risk, mtakuja kuoa mayezebeli.
Siwapendi Watu kama ninyii.Unampangia.MTU??????mbona wewe hupati huko mtaani.Ndo.mana unavizia Pm
 
Huyu mchumba anayetafutwa usiku hatari sana, isije ikawa ngenye ndio zimekutuma vibaya[emoji52], haya wachumba njoeni huku
Sio vyema jamani.Kama.huna la kuchangia unapita tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…