Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Tswana14

Senior Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
167
Reaction score
73
mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiliwa serikalini natafuta mchumba wa kike wa kuoa awe na umri wa miaka 24-26 elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea aliye interested tuwasiliane pm
 
Kila la kheri

To accomplish much you must first lose everything..
 
Mchumba huku jf mpaka kumuoa?aisee mfanyakazi wa serikali bana

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiliwa serikalini natafuta mchumba wa kike wa kuoa awe na umri wa miaka 24-26 elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea aliye interested tuwasiliane pm
[emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] nawenye 30 je [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] hii magu alitazame pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom