Kijiji nilichopo da kazi kweli kweli huku hakunaWatu wanatoka mjin kuja kuoa kijijini we hujapata tu huko
Huku hawapendi kuolewa kijini lazima atoke kwanza aende mjini akipachoka huku ndio anarudi huku sasa anakuwa ameshachokahuko kijijini mnao onana nao live hawafai?
anyway kila la kheri.....ukimpata usisahau kuleta mrejesho tuingize kwenye hansadi ya jf