Nami pia natafuta binti ila awe mweupe mwenye umbo zuri na roho safi kuanzia miaka 25 na kuendelea anicheki PM au kwa email mchumba2017@gmail.comHabari wanabodi.
Mimi ni kijana wa miaka 26 Mwenye Elimu kwa Ngazi ya Degree, Ndio Kwanza nipo kwenye ajira yangu ya pili.
Najitokeza kutafuta msichana kwa ajili ya uchumba ili tuje kuoana.
Sifa za mwanamke
1. Awe Na Elimu Kuanzia Form 4
2. Umri Kuanzia Miaka 18
3.Asiwe Model sana. Awe na nyama za kushika ( Si Unajua wanaume wa kibantu tunapenda hiyo sifa yani umbo la kibantu )
4. Sichagui kabila wala dini
Note: Kwa Msichana Mwenye sifa na utayari huo aje PM tuweze kuongea zaidi na kujuana zaidi.
Habari wanabodi.
Mimi ni kijana wa miaka 26 Mwenye Elimu kwa Ngazi ya Degree, Ndio Kwanza nipo kwenye ajira yangu ya pili.
Najitokeza kutafuta msichana kwa ajili ya uchumba ili tuje kuoana.
Sifa za mwanamke
1. Awe Na Elimu Kuanzia Form 4
2. Umri Kuanzia Miaka 18
3.Asiwe Model sana. Awe na nyama za kushika ( Si Unajua wanaume wa kibantu tunapenda hiyo sifa yani umbo la kibantu )
4. Sichagui kabila wala dini
Note: Kwa Msichana Mwenye sifa na utayari huo aje PM tuweze kuongea zaidi na kujuana zaidi.
I Miss Youmaelezo yako yanahang..hujasema makazi yako ni wapi na dini yako