Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Njoo pm bibie hata mm natafuta ila nina 20yrs..
 
Umri gani mwanaume awe nao ? huenda na sisi leo tukawa tumekumbukwa
 
Mimi ni binti wa miaka 24 elimu yang kidato cha 6 ..Sina kazi naish tu home dar es salaam nawazaz wangu natafut mchumba aje kuwa mume
Sifa
Aweze kunipenda
awe mcha mungu
Aletayar kuoa sio kuchezea
Asanten nawakaribisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20170826-180145.png
    Screenshot_20170826-180145.png
    59.9 KB · Views: 76
Mimi ni binti wa miaka 24 elimu yang kidato cha 6 ..Sina kazi naish tu home dar es salaam nawazaz wangu natafut mchumba aje kuwa mume
Sifa
Aweze kunipenda
awe mcha mungu
Aletayar kuoa sio kuchezea
Asanten nawakaribisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Kumbe Wewe ni Juma Kaseja ( Golikipa / Mama wa Nyumbani ) Dada? Sijui kama siku hizi kuna Mwanaume mwendawazimu kwa jinsi hivi Vyuma vilivyokaza / ugumu wa maisha atakubali tena ajibebeshe Gunia la Misumari kumchumbia Binti au Mwanamke asiye na hata tu Kibarua achilia mbali Kazi / Ajira ya Kueleweka. Sijui ni nani Kakudanganya uje humu utiririke na userereke hivi ki hovyo hovyo.
 
Kumbe Wewe ni Juma Kaseja ( Golikipa / Mama wa Nyumbani ) Dada? Sijui kama siku hizi kuna Mwanaume mwendawazimu kwa jinsi hivi Vyuma vilivyokaza / ugumu wa maisha atakubali tena ajibebeshe Gunia la Misumari kumchumbia Binti au Mwanamke asiye na hata tu Kibarua achilia mbali Kazi / Ajira ya Kueleweka. Sijui ni nani Kakudanganya uje humu utiririke na userereke hivi ki hovyo hovyo.
Pole yako ...Tena sana kwakutiririk ya moyon kama ww sio muoaj waache wenzio...Kaa na perception yko ivo ivo ....Pole sana kama ww uwez wenzio wanaweza san nawanatafut as longer mmekubalian wenyew pesa na mali vbarua utafutwa upo..Pia nawez nisifany kaz lakn nikawa kiongz mzur tu nikakongoz kweny mambo yako ya mafanikio na ukafanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona ww muongo muongo,mara kidato cha sita,hapoo mwalimu wa arts,,veep
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ukisoma degree ya ualim wa art awam hii ni sawa na kuishia form six tu kwa sababu haina tija yeyote, nahisi ndo maana kaamua kusema hivyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom