U seriousness ni ww mwenywe mkuu ,uzidhani hao unaokutana nao kanisani ,msikitini,sokono,mitaani au chuoni wanatofauti na hao unaokutana nao mitandaoni,ni wale wake mkuu. Maana nina ukakika siku utakapoamua kuwa serious utachukua tu bila kuwachunguza. Mbona vitu vinavyoagizwa onlie ni vile vile wanavyofuata china au mahala pengine,Tofauti ni mawasiliano tu