Ww ni mwanamke au mwanaume? Tulia andika vizuri basi!Mimi natafuta mchumba awe mweupe mrefu wa stani awe na elimu nzuri i mean degree nakundelea.
Umri 36 - 50 hata kama unawatoto mimi sawa tutatunza.
Awe mcheshi ila sio kuzidi.
Awe na kazi nzuri.
Awe muelewa mstaarabu akubali kubadilika.
Asiwe anapiga .
Mimi ni mkristo umri 27
Kama upo serious ni pm
Wenye hasira msinipm
Mimi natafuta mchumba awe mweupe mrefu wa stani awe na elimu nzuri i mean degree nakundelea.
Umri 36 - 50 hata kama unawatoto mimi sawa tutatunza.
Awe mcheshi ila sio kuzidi.
Awe na kazi nzuri.
Awe muelewa mstaarabu akubali kubadilika.
Asiwe anapiga .
Mimi ni mkristo umri 27
Kama upo serious ni pm
Wenye hasira msinipm
Aya fursa hiyo iendee.!Duuh,
Hahahaha,.sina digirii.Aya fursa hiyo iendee.!
Pole sana ilikuwa fursa nzuri kweli.Hahahaha,.sina digirii.
Aiseeee haya mashart na hivi vigezo ni vingi kweli utampata atakaye kamilisha?me nadhan unahitaji msaada wa Mungu zaid kuliko vigezo.Mimi natafuta mchumba awe mweupe mrefu wa stani awe na elimu nzuri i mean degree nakundelea.
Umri 36 - 50 hata kama unawatoto mimi sawa tutatunza.
Awe mcheshi ila sio kuzidi.
Awe na kazi nzuri.
Awe muelewa mstaarabu akubali kubadilika.
Asiwe anapiga .
Mimi ni mkristo umri 27
Kama upo serious ni pm
Wenye hasira msinipm
Dah!!!!kisicho rizki kweli hakiliki[emoji20] [emoji20]Pole sana ilikuwa fursa nzuri kweli.
Wapi umeandika u atafuta mume?Hivi wewe unajielewa?
Kuna mwanaume anatafuta mme
Aya subiri Pete kutoka kwangu.Dah!!!!kisicho rizki kweli hakiliki[emoji20] [emoji20]
Aww[emoji7]Aya subiri Pete kutoka kwangu.