Wapiga soga nawaona nawaonaaAya subiri Pete kutoka kwangu.
Aww[emoji7]
Ni mdada bhanaaMbona tangazo lako limekaa kama ww ni mwanaume? Fanya kuedit utapata
mnajaza tu uzi wa watu apaa kapeaneni hukoooAya uje kule kuna zawadi nyingine nakuandalia.
Nimeshafika[emoji68]
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hivi wewe unajielewa?
Kuna mwanaume anatafuta mme
Jamanii ndio wivu tena mama ivuga?mnajaza tu uzi wa watu apaa kapeaneni hukooo
Nimeahidiwa Pete cjui litakuwa LA bati au chuma,mweWapiga soga nawaona nawaonaa
Haha la bati hyoNimeahidiwa Pete cjui litakuwa LA bati au chuma,mwe
Mmh,bora liwe hata la msauziHaha la bati hyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu kwangu kuna MCHUMBA NA SEBULE (UKUMBI) VP UNAKUFAA??
We hutafuti mchumba mumuDuuh,
Hahhaa,kuanzia April ndio nitaanza rasmi mingleWe hutafuti mchumba mumu
Haha atakuwa ameedit hakusema mwanzoMi mm ndo sijaelewa au...mbona nimeelewa ni mdada huyo
Haaaa kwanini usianze now kwenye hizi mvuaHahhaa,kuanzia April ndio nitaanza rasmi mingle
Acha zikate kwanzaHaaaa kwanini usianze now kwenye hizi mvua
Ili baridi halikupi shidaAcha zikate kwanza
Nimezoea.Ili baridi halikupi shida
HahahahaahhaaaaaaWapiga soga nawaona nawaonaa