bea alonzo
Member
- Dec 15, 2016
- 96
- 28
- Thread starter
-
- #21
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] n muhim hata pass tu lkn muhimuC ya mathe wewe ya nini ....unataka kuajiri mhasibu wa nyumba yako????
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]C ya mathematics!!!
Mkuu unatafuta mchumba au mwalimu wa tution
Wenye c ya mathe mnaitwa huku,wengine hata D tuliipata tukiwà form 1 tu bahati nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenye c ya mathe kashapatikana mkuu?!