Natafuta mchumba....

Natafuta mchumba....

The jimmy

New Member
Joined
Mar 10, 2019
Posts
3
Reaction score
2
Mimi ni kijana 28 yrs. Naishi dsm. Nimeajiriwa pia ninamishe zangu nyingine.

Ni mkristo.

Natafuta rafiki wa kike kisha aje kuwa mchumba hadi mke. Umri 21-27 ikiwa dsm au karibu na dsm itapendeza.

Mwenye hofu ya Mungu. Mchapa kazi. Mama mtarajiwa mlezi wa familia.

For more info came pm.


N.b my old id is no longer active.

Nawakaribisha kwa moyo mkunjufu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom