victor kimei
New Member
- Apr 5, 2019
- 2
- 0
Ng'ooHuwezi pata kwa uandishi huu....
Wengine wanatest tu kuchora ila baadh wako serious kweli.. vipi nkalibie pmNakumbuka kuna mwanaume alikuwa anatafuta mchumba nikamfata pm kumbe alikuwa anatania
Naogopa kama nini kumfata mwanaume pm maana amuaminiki ata wala wengi ampo serious
sent using bombadia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]komenti hii imeongoza kunivunja mbavu, mkuu sijui ulimanisha nini!!!