ushakosa ka we ni mfupi..................tafuta siredi humu inazungumzia wanaumw warefu huh akina dada humu wakadata,jinsia yako 1
huh.................aaah wale wakifata noti tu mkuu hakuna mapenzi paleacha kumuatisha moyo, hata wanawake wanadata na wanaume wafupi muda mwingine.
akina Rashid kawawa, Benja mkapa nk, hao majamaa ni wafupi lakini hawakuwa na wake? Au waliwaoa wanaume?