Mbagala Tz
Member
- Mar 16, 2017
- 57
- 42
Sifa nyingine unazotaka ni zipi??
Umri tu!!!
Na sis wa la Saba tunaruhusiwa?
Hujasema uko wapi
Hujasema unataka mtu wa dini ipi.
BTW kuna mabandiko kibao humu watu wanatafuta waume, jaribu kuangalia na huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana bro utampata tuuWakuu salaam??
Leo nakuja tena na uzi wangu huu
Natafuta mchumba aliye serious na uchumba
Mimi ni mwanaume
Miaka 27
Mrefu wastani ,Mweusi wastani
Najishughulisha na biashara za hapa na pale
Nataka msichana aliye serious
Umri 21-26
Awe Mcha Mungu
Aje PM tuyajenge km yupo