Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Mtu si mbwa

Member
Joined
Jan 24, 2021
Posts
16
Reaction score
42
Natafuta mchumba, sifa awe Na miaka 23-30. Awe mwe usi au maji ya kunde, dini yoyote, awe mrefu wa wastan, awe Na wembamba usio Na mashaka, awe Na chura wa kawaida tu. Tabia iwe njema Na mwenyeheshima pia awe Na ajira yoyote Na awepo Arusha. Mm ni mwembamba wa wastan, sio mrefu wala sio mfupi, nimeajiriwa, umri wangu 35. Mwenye sifa tajwa anicheki e_joelkiss@yahoo.com
 
Back
Top Bottom