dennoo_appliances
Senior Member
- Nov 28, 2018
- 136
- 192
Kabadili cheti cha kuzaliwa kisome una miaka 22.Nimefit hapo kwenye jinsia,ukristu na bachelor degree yoyote
Tatizo limeanzia hapo kwenye 25.....unajua naiacha mwaka huu hiyo 25 halafu yeye kasema anataka chini ya 25
Tutamdanganya ili mradi utupunguzie wingi hapa home.Nimefit hapo kwenye jinsia,ukristu na bachelor degree yoyote
Tatizo limeanzia hapo kwenye 25.....unajua naiacha mwaka huu hiyo 25 halafu yeye kasema anataka chini ya 25
Awesome idea...!!!Kabadili cheti cha kuzaliwa kisome una miaka 22.
Tutamdanganya ili mradi utupunguzie wingi hapa home.
Embu acha kutia ugumu kaka nataka nikastake mahali. Uefa mwezi huu ujue.
Hiyo ndio muhimu🤣🤣Kumbe target ni pesa ya mahari 😂
Maisha hayana formula usipende kukariri maishaNasikia Daslam kuna wanawake lukuki, hivi kweli wote wanaokuzunguka hapo huwaoni?
Lazima kuna shida mahali.
Unatafuta mchumba ama mke. Halafu huyo mchumba awe na Digrii.Mim Nina sifa zifuatazo
Jinsi Mwanamme
Umri miaka 29
Dini mkristo
Elimu Bachelor degree
Kazi Nimeajiriwa
Makazi Dar es salaam
Mhusika awe na sifa zifuatazo
Jinsia Mwanamke
Miaka chini ya 25
Dini mkristo
Elimu Bachelor degree yeyote
Makazi Dar es salaam
Ambaye atakua interest anifuate pm
Afanye kama wema sepetuKabadili cheti cha kuzaliwa kisome una miaka 22.
Maisha ni mapambano.
🤣🤣🙌Uliposema bachelor yeyote umenikumbusha kuna uchumba ulivunjika dakika za mwisho mwisho kabisa kisa mchumba anajulikana Mwalimu,Kila mtu anamuita mwalimu kumbe mwalimu wa kwaya.
Ungemwambia umekidhi vigezo..vyoteNimefit hapo kwenye jinsia,ukristu na bachelor degree yoyote
Tatizo limeanzia hapo kwenye 25.....unajua naiacha mwaka huu hiyo 25 halafu yeye kasema anataka chini ya 25