Natafuta mchumba

Dugo

New Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
4
Reaction score
0
Ni miaka 29 yakuzaliwa na nimuda muafaka wakupata mwenza wazee wamenipa fursa yakutafuta mchumba nimpendae lakini sijamuona natoa fursa hii kwenu wasomaji ambae aliyekuwa tayari tuwasiliane: masharti na vigezo kuzingatiwa. Awe na umri usiozidi miaka 25 , awe mrefu, mwembamba sibagui rangi wala kabila kwa upande wa dini lazima awe Muislam awe tjyari kuishi Z'bar piga no: 0777 600127 by.
 
Khaaa ! Inaonekana Zanzibar hakuna madem wakali kama huku Mbeya city, kama vp hamia kabisa huku broda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…