Wewe ni me au Ke??Waungwana natafuta mchumba umri kuanzia miaka 25-29,Elimu kuanzia darasa la saba hata form 4,awe mjasiriamali ama mfanyabiashara ndogondogo ni sawa,kuhusu kabila ni lazima awe mnyiramba ,mimi Kazi yangu ni mfanyabiashara wa kati,natanguliza Shukrani!
N:B ,mawasiliano yote ni PM
Nimekumiss etiNasikitika umri,kazi na kabila vimenikosesha mchumba jaman…hivi hakuna mtu atakaelenga vigezo moja kwa moja 😎
Hauna jinsia mkuuWaungwana natafuta mchumba umri kuanzia miaka 25-29,Elimu kuanzia darasa la saba hata form 4,awe mjasiriamali ama mfanyabiashara ndogondogo ni sawa,kuhusu kabila ni lazima awe mnyiramba ,mimi Kazi yangu ni mfanyabiashara wa kati,natanguliza Shukrani!
N:B, mawasiliano yote ni PM
Ohoooo….nimekumiss pia my Joana 🥰🥰🥰…nilipotea Kwa muda kidogo huku jfNimekumiss eti
Mie sio mnyiramba,sio mfanya biashara wala mjasiriamali mkuuKaribu PM
Sogea maeneo Singida, wapo wengi.Waungwana natafuta mchumba umri kuanzia miaka 25-29, Elimu kuanzia darasa la saba hata form 4, awe mjasiriamali ama mfanyabiashara ndogondogo ni sawa, kuhusu kabila ni lazima awe mnyiramba, mimi Kazi yangu ni mfanyabiashara wa kati, natanguliza Shukrani!
N:B, mawasiliano yote ni PM,Mimi ni dume
AsantePole sana