Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Dik

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,205
Reaction score
416
Naitwa dick masomoni ddm,natft rafiki wa kike mwenye heshima na mcha mungu.awe na sifa zifuawazo!
1.umri 22-26
2.elimu f4 na kuendelea
3.mkristo
4mweupe/majikunde na
asiwe mnene sana.p/se ctanii ifahamike.
Contct.0783109344.usipige.tuma sms tu.am real serious wenzangu wana jf.have gud momemts
 
why usipigiwe simu? una sababu za kujitosheleza? why? kama upo class usipigiwe haya na time nyingine pia usipigiwe? wewe!!!???
 
mbona ww hujamwaga cv yako? Ww unafikir hao warembo watavutiwa na maandishi? Km vip uza hata sura
 
mbona ww hujamwaga cv yako? Ww unafikir hao warembo watavutiwa na maandishi? Km vip uza hata sura

ok well!
1.Nina miaka 28
2.kimo cha wastani
3.rangi maji ya kunde
4.elimu-nipo chuo kikuu dodoma.wana jf niko serious
 
Back
Top Bottom