Wanakuja mkuuNimekuwa nikiona nyuzi nyingi humu watu wakitafuta wachumba ila hakuna mrejesho wowote kama wanafanikiwa au laa..ngoja na mimi nitafute mchumba humu huwenda ikawa kweli
Sifa zangu:
Sex:male
Age:30
Job:driver
Religion:Islamic
Educational level: ordinary certificate of secn educ
Residence: Dar es salaam.,
Sifa za mchumba:
Marital status:single
Age:24-28
Religion:any
Note:
1.Awe tayri kupima virus vya ukimwi
2. Asiwe na mtoto hata mmoja wala historia ya kutoa mimba
HaswaaaaaahTatizo pisi kali zinataka mawe