Umetisha 🤣🤣 naanza page 1 hadi mwisho kusoma.
[emoji23]Umetisha [emoji1787][emoji1787] naanza page 1 hadi mwisho kusoma.
Unaishi mkoa gani?, na upo tayari kupima HIV?Mi ni single mom, mtoto mmoja wa miaka 3, natafuta mchumba awe Mkristo, umri kuanzia 35+, asiwe Muhaya wala Mkurya, awe anajishughulisha!
ASANTE.
Ni mbovu kisa ni single mom..You are so stupidKazi unayo mama!!!
Yaani tayari ni m'bovu bado unaweka masharti haya ngoja wa kabila lako wanakuja
Nimekugusa?Ni mbovu kisa ni single mom..You are so stupid
Nimekugusa?
Hasira mpelekee aliyekutotolesha akakutelekeza usiniletee mimi,mwanamke ukishapigwa spanner huwezi kuwa na thamani kama kigoli aliyejitunza wewe tulia dawa ikuingie nilichoandika ni sahihi.
Kwanini husi mlee mwanao au unataka boya wa kumpiga.Asante ,kila MTU na machaguzi yake binafsi Ayo ndio machaguzi yangu aijalishi niwe mbovu au mzima
Raha ya kuzaa kwa mwanamke ni kuzaa ndani ya ndoa watoto wanakuwa huru kuishi kwao bila mbambambaUsiwasikilize mama kuzaa sio ugonjwa wala ubovu....
Hujui aliipataje mimbaRaha ya kuzaa kwa mwanamke ni kuzaa ndani ya ndoa watoto wanakuwa huru kuishi kwao bila mbambamba