Natafuta mchumba

Mimi nina 34, upo tayari?? Na siyo hayo makabila natokea mikoa ya kusini mwa Tanzania
 
Mi ni single mom, mtoto mmoja wa miaka 3, natafuta mchumba awe Mkristo, umri kuanzia 35+, asiwe Muhaya wala Mkurya, awe anajishughulisha!

ASANTE.
Unaishi mkoa gani?, na upo tayari kupima HIV?
 
Ni mbovu kisa ni single mom..You are so stupid
Nimekugusa?

Hasira mpelekee aliyekutotolesha akakutelekeza usiniletee mimi,mwanamke ukishapigwa spanner huwezi kuwa na thamani kama kigoli aliyejitunza wewe tulia dawa ikuingie nilichoandika ni sahihi.
 
Nimekugusa?

Hasira mpelekee aliyekutotolesha akakutelekeza usiniletee mimi,mwanamke ukishapigwa spanner huwezi kuwa na thamani kama kigoli aliyejitunza wewe tulia dawa ikuingie nilichoandika ni sahihi.

Haupo sahihi
 
Asante ,kila MTU na machaguzi yake binafsi Ayo ndio machaguzi yangu aijalishi niwe mbovu au mzima
Kwanini husi mlee mwanao au unataka boya wa kumpiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…