Wapi pichaaaaa.. in Iyolas voice 😁Tunaanzia hapa hapa
Hahaha huwezi kuwa mfupi ukawa na mashine ndefu itakuwa ni kiema.Kumbe men urefu moderate wenye miili wana bamiahh???[emoji848][emoji848][emoji848][emoji854][emoji854]
Nilikua sijuiiiiiii[emoji6][emoji6][emoji6]
hahahaha nimecheka kwa nguvuMsimu wa Sikukuu Disemba kila unayetongoza hakatai.
Yaan unajiumbia kabisa?Hapana sipendi warefu Sana napenda wafupi wawe na mwili kiasi afu weusi au maji y kunde awe ananyoa upara sio anaefuga nywele au kucha na mandevu
Kumbe ndio maana. Tangu nianze kunyoa upara wadada wengi wananichangamkia sana siku hizi! Kumbe ni hobby yenu eeh?Hapana sipendi warefu Sana napenda wafupi wawe na mwili kiasi afu weusi au maji y kunde awe ananyoa upara sio anaefuga nywele au kucha na mandevu
In this public forum? No wayMnapotoa hizi qualifications Mngeambatanisha na tupicha Ingependeza zaidi... ili kumrahisishia murembo Iyola
Hata mimi natafuta mchumba, ila mimi ni Mlokole nasali kwa Prophet Clear MalisaMi ni single mom mtoto mmoja wa miaka 3, natafuta mchumba awe mkristo umri kuanzia 35+ asiwe muhaya Wala mkurya . Awe anajishughulisha...!!
ASANTE