Natafuta mchumba

Unaoa mtu aliye na mtot hakikisha Bab mtot amefariiki au amemuua wee mwenyewe na uoneshwe kaburi lake na cheti chake ukipate
 
Mkuu punguza umri kidogo,taja dini yako nije PM chap kwa haraka

Halafu elimu ya fom fo lazima niambatanishe na cheti?manake mie kiukweli nilimaliza fom fo lakini cheti sikupewa sijui kwanini
Utakuwa ulikisahau bwenini
 
Kichwa cha habari unatafta mchumba , maelezo umesem unatafta rafiki any way .... vipi hapo kwwnye vigezo nikuongeze kimoja vipi ulihitaji TV flati U chogo usikidharau hicho kipengele ni muhimu sana
 
 
Huyo singo maza hakikisha ni mjane...nasisitiza hakikisha ni mjane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…