E emkey JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 728 Reaction score 137 Jan 23, 2012 #1 natafuta mchumba/msichana mwenye sifa hizi: mweupe au maji ya kunde. mwembamba. elimu ya kidato cha sita au chuo. dini yoyote. kabila yoyote. ajue kiswahili. umri ni: 24-30. asiwe na mtoto. awe tayari kwa ndoa. contact: 0714-408238 au 0759-401230.
natafuta mchumba/msichana mwenye sifa hizi: mweupe au maji ya kunde. mwembamba. elimu ya kidato cha sita au chuo. dini yoyote. kabila yoyote. ajue kiswahili. umri ni: 24-30. asiwe na mtoto. awe tayari kwa ndoa. contact: 0714-408238 au 0759-401230.
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,991 Reaction score 24,211 Jan 23, 2012 #2 Dah, sifa zote ninazo. Hebu toa sifa zako zaidi ili nione kama utafaa kuliwa na mie.
Sniper JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,957 Reaction score 827 Jan 23, 2012 #3 Sijaona suala la kuwa tayari kupima hapo kwenye vigezo, naona sio kipaumbele kwako
Asnam JF-Expert Member Joined Jan 18, 2012 Posts 4,256 Reaction score 2,946 Jan 23, 2012 #4 nikimuona nitakutaarifu
Kitope JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 236 Reaction score 58 Jan 23, 2012 #5 tafuta darubini utamuona tu ,.... wapo wengi humu mkuu
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Jan 24, 2012 #6 Kila la heri!
Dennismakoi Member Joined Jan 23, 2012 Posts 34 Reaction score 3 Jan 24, 2012 #7 Duh huku wamejaa wanaume tu
Mshume Kiyate JF-Expert Member Joined Feb 27, 2011 Posts 6,764 Reaction score 896 Jan 24, 2012 #8 Unatafuta mchumba JF?
fazaa JF-Expert Member Joined May 20, 2009 Posts 2,984 Reaction score 1,031 Jan 24, 2012 #9 Aisay na mimi natafuta wanawake wengine watatu wakuowa. Wawe wazuri, wanapesa, wamesoma, na kila sifa nzuri walizo nazo wanawake wazuri. Wanaweza kuni call kwa kutumia Al jazeera, CNN au BBC.
Aisay na mimi natafuta wanawake wengine watatu wakuowa. Wawe wazuri, wanapesa, wamesoma, na kila sifa nzuri walizo nazo wanawake wazuri. Wanaweza kuni call kwa kutumia Al jazeera, CNN au BBC.
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Jan 24, 2012 #10 Ukikosa hapa Jaribu kutumia njia za kisasa kama Google Search, Ctrl + F, bing, nk
BPM JF-Expert Member Joined Mar 10, 2011 Posts 2,760 Reaction score 576 Jan 24, 2012 #11 hongera lakini hujaweka sifa zako na ujuzi
M Makunga JF-Expert Member Joined Dec 21, 2011 Posts 771 Reaction score 551 Jan 24, 2012 #12 Sifa zaid tafadhali,mwaga cv yako ieleweke.Una gari,nyumba je,una ATM cards ngapi.Mshahara wako per month.ukiwa navyo hivyo tu tayari ushanipata.
Sifa zaid tafadhali,mwaga cv yako ieleweke.Una gari,nyumba je,una ATM cards ngapi.Mshahara wako per month.ukiwa navyo hivyo tu tayari ushanipata.
J jamila odo New Member Joined Jan 16, 2012 Posts 4 Reaction score 0 Jan 24, 2012 #13 hellow JF, am happy to join JF. Mdau toa sifa zaidi wadao wajue kama unafiti, utawapata, kaza buti
G Gwesepo Senior Member Joined Oct 26, 2010 Posts 134 Reaction score 12 Jan 24, 2012 #14 Mkuu hujazungumzia kuhusu urefu nafikiri dada yangu anafaa ni mweupe mwembamba kasoro ni mbilikimo je nikupe namba yake ya simu?
Mkuu hujazungumzia kuhusu urefu nafikiri dada yangu anafaa ni mweupe mwembamba kasoro ni mbilikimo je nikupe namba yake ya simu?