Endelea kuota.hao watakuja kwa sababu ya pesa zangu. Nataka wa kuanza nae mwanzo
Hili bandiko mbona lina ukakasi?Mimi ni kijana wa makamo umri miaka 32, elimu yangu std 7, kazi mjasiliamali,
Natafuta mchumba ambae hatiae awe mke wangu. Umri 22~27 , elimu itapendeza asivuke 4m4, dini/kabila lolote, hata akiwa na mtoto ni sawa
Mwenye yupo tayari karibu pm tuianze safari