Natafuta Mchumba

Kuna mchumba pia kama unahitaji (in case of emergency):-
Ni mkubwa na unaweza weka vitu vyako vyote frij, meza na hata kitanda cha 6Γ—6. Kodi pia ni rafiki. maji na umeme bureeeee
 
Hizi assist lazima tusherehekee mwaka huuπŸ˜€πŸ˜€ ila hadi watoto sasa aah, nipe assist kwa watu wazima wenzangu 3rd floor hukoπŸƒβ€β™€οΈ
Una nivunja Moyo kabisa, ko kazI yote hamna kitu kabisa πŸ˜€πŸ€£.

Halafu utoto huyo vepee, Akati nataka na Mimi kujaπŸ˜‚πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ financial services
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…