eng Bakari hamisi
New Member
- Dec 10, 2023
- 4
- 7
Sakazia tu wenzio
Kwahiyo shemeji ni Eng wa umeme au fundi umeme?
Sakazia tu wenzio
Mwambie anakaribia u auntWe mwache tu 😂😂😂
Ndugu yangu hivi mtaani umekosa madem mpk unakuja kutafuta online?A/alleikum
Naitwa Bakari Hamisi mkazi wa Dar es salaam.
Umri 32 miaka.
Kazi: Muajiliwa (Electrical engineer)
Natafuta mchumba ambae atakuja kuwa mke kama tukiridhiana
Sifa
Uwe Muslim
Elimu yoyote
Mkazi wa Dar es salaam au jirani
Umri 20-29
Napatkana telegram 0759565300 or normal.
Nataka niweke tangazo ila naona ntajichoresha.Unatak kuweka tangazo 😀😀
😂😂😂Umeanza uchokozi na bwana harusi utakosa mume D,yaani we mchaguzi sanaKwahiyo shemeji ni Eng wa umeme au fundi umeme?
Hata Civil Eng ni fundi lakini sio fundi mwashi 😂😂
😁😁😁Asante Kwa taarifa mwenyekiti,tatizo kigezo number Moja kimenitoa ulingoni mi Mkolosai
🤣🤣🤣🤣Vichaa mmefikaMbona hujibu pm yangu?
Dini tutatumia yako
Ngoja nitulie ili mpate shemeji Injinia wa umeme ndo mkimaliza ujenzi mnatuita tuwawekee wiring bure 🤣🤣😂😂😂Umeanza uchokozi na bwana harusi utakosa mume D,yaani we mchaguzi sana
huna haja ya kuweka nakuja direct 😌Nataka niweke tangazo ila naona ntajichoresha.