Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Johnson2012

Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
93
Reaction score
12
awe na elimu ya dini yeyote awe na umri wowote asizidi miaka 40 awe tayari kuishi popote
 
wewe mwenyewe unavigezo gani johnson? umeandika haraka haraka kama unakimbizwa
 
tupe cv yako ili tukupe advanced aproach kijana.... simply i min ur description
 
atakuwa alikuwa ameachwa na basi
akaklick submit bila kumaanisha.
 
awe na elimu ya dini yeyote awe na umri wowote asizidi miaka 40 awe tayari kuishi popote


Mi ndio bado niko chuoni najifunza dini hiyo hiyo ya kwako na kwenye umri pandisha kidogo kama kumi moja hivi, nitume barua ya maombi
 
Back
Top Bottom