Hivi haka kabaridi kanaisha lini? Manake siku hizi tunaishi tu ila kuoga aaahAfu siku hizi kuna tubaridi korofi😂
Kataisha ukiwekwa ndani😂Hivi haka kabaridi kanaisha lini? Manake siku hizi tunaishi tu ila kuoga aaah
Legeza mashartiBado sijapata
Ivi we ni kidume gani unatafuta mwanamke kwa staili hii, unatupa mashaka na uanaume wako boss.
Wanawake wamejaa mitaani wanataka kuolewa unaleta ngojera mitandamk
Mkubwa unanifokeaIvi we ni kidume gani unatafuta mwanamke kwa staili hii, unatupa mashaka na uanaume wako boss.
Wanawake wamejaa mitaani wanataka kuolewa unaleta ngojera mitandaoni
Ingia field mzee punguza theory nyingiMkubwa unanifokea
Lucas Mwashambwa njoo ububujikwe na machoziAjira imenikosesha mchumba
Wewe si ni moderator wa jf ama??Ajira imenikosesha mchumba