Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Wewe unataka umri wa mchumba mtafutwa usizidi miaka 40!! wewe umri wako hujataja?
 
Dah jaman miaka 40???apa utapata shughuli kumpata umu ndani!?ila labda!...all the best....
 
vp ulikopita kote hujawaona mpaka unataka kuwapata usiowajua.
 
Mke nimemwona leo asubuhi pale tandika. wahi labda utampata.
 
Back
Top Bottom