obsesd JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 1,225 Reaction score 529 Feb 21, 2012 #21 cartura said: huo mtego ni ngumu sana kuruka kipipi, yaani unagonga mzigo, unamtafutia na passport feki, siku ya siku unaenda kumwacha airport... so crude eeh Click to expand... mmmh hii kalii na wamelizwa wengi kweli yaan! we mtoa mada hapo sokoine unafanya nini embu funguka vizurii!
cartura said: huo mtego ni ngumu sana kuruka kipipi, yaani unagonga mzigo, unamtafutia na passport feki, siku ya siku unaenda kumwacha airport... so crude eeh Click to expand... mmmh hii kalii na wamelizwa wengi kweli yaan! we mtoa mada hapo sokoine unafanya nini embu funguka vizurii!