Bakulutu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2011 Posts 2,557 Reaction score 1,787 Feb 25, 2012 #1 Habari JF. Mimi ni kijana na umri wa miaka 25, Mtanzania, dini Mkristo RC,elimu mwaka wa 3 degree ya IT. Natafuta msichana anayependa maendeleo na chapa kazi.Sina ubaguzi wowote kwan wote ni wa Mungu.Naitaji PM yako tuu. Karibuni.
Habari JF. Mimi ni kijana na umri wa miaka 25, Mtanzania, dini Mkristo RC,elimu mwaka wa 3 degree ya IT. Natafuta msichana anayependa maendeleo na chapa kazi.Sina ubaguzi wowote kwan wote ni wa Mungu.Naitaji PM yako tuu. Karibuni.
edryc Member Joined Feb 22, 2012 Posts 26 Reaction score 4 Feb 25, 2012 #2 mkuu sasa madegree ya IT ya nini kwenye mapenzi?, elewa kuwa usomi, uTZ, UDINI sio sifa katika mapenzi ya dhati.
mkuu sasa madegree ya IT ya nini kwenye mapenzi?, elewa kuwa usomi, uTZ, UDINI sio sifa katika mapenzi ya dhati.
Roulette JF-Expert Member Joined Dec 15, 2010 Posts 5,568 Reaction score 5,386 Feb 25, 2012 #3 na limitation ya miaka? akiwa 35?
MadameX JF-Expert Member Joined Dec 27, 2009 Posts 7,792 Reaction score 3,856 Feb 26, 2012 #4 Mimi mjahidina utanikubali
Tajy JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 298 Reaction score 24 Feb 26, 2012 #5 MadameX said: Mimi mjahidina utanikubali Click to expand... We unaendana na mimi,eleweka.