Natafuta Mchumba .

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Habari JF.
Mimi ni kijana na umri wa miaka 25, Mtanzania, dini Mkristo RC,elimu mwaka wa 3 degree ya IT.
Natafuta msichana anayependa maendeleo na chapa kazi.Sina ubaguzi wowote kwan wote ni wa Mungu.Naitaji PM yako tuu.
Karibuni.
 
mkuu sasa madegree ya IT ya nini kwenye mapenzi?, elewa kuwa usomi, uTZ, UDINI sio sifa katika mapenzi ya dhati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…