Natafuta mchumba

bbukhu

Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
58
Reaction score
1
Jana nilitoa tangazo katika safu hii. Jamani niko sirias. Leo narudia tena.
Natafuta mchumba mwenye heshima,huruma, uvumilivu, mchapakazi, mweupe wa wastani, mwenye mwilli wenye ukubwa wa wastani kutoka kabila lolote. Awe mkristo. Mimi nina umri wa miaka 28. Nina sifa zifuatazo, mweusi si mweusi, mwembamba wa wastani, urefu wa wastani, ni mwanaharakati, mwandishi wa makala,na ni mwalimu wa sekondari.

Dada mwenye vigezo hivyo hata kama hana baadhi ya vigezo awasiliane na mimi

Asanteni wadau.Tushirikiane.
 
nduguyangu humu hata kenge wamo katika msafara wa mamba,so be careful humu utaokota wale walioshindikana tu,na utakuja kujutia uamuzi wako wa kutafuta rafiki wa kike kwa kutumia keyboard.
 
nduguyangu humu hata kenge wamo katika msafara wa mamba,so be careful humu utaokota wale walioshindikana tu,na utakuja kujutia uamuzi wako wa kutafuta rafiki wa kike kwa kutumia keyboard.

Asante mkuu kwa ushauri wako. Lakini wakati mwengine demu ambaye amekaa sana bila kuolewa na ikafika wakati anataka kuolewa na bahati nzuri akajitokeza mwanaume lazima atatulia. Maana heshima ya wanaume na wanawake ni kuingia katika ndoa
 

hana tena?
 
Mbona siku hizi kuna uhaba wa wachumba hivi?Mana kila mtu sku izi anapost humu anatafuta mchumba jeez!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…