Natafuta mchumba

Status
Not open for further replies.
Mnh! Watu kwa kuhofia mileage jamani? Hebu oeni, mambo mengine acheni kama yalivyo!
 
Kweli mwanajuma nimeona upo serious manake CAPS LOCK ON mwanzo mpaka mwisho wa tangazo,pia font color ndege lazma ajinasishe mwenyewe kwenye ulimbo. Mi ungenipata,ila kigezo kimoja kishaniengua., kujituma sipendi,napenda nyampara awepo karibu na 'mkia wa ta' ndo nijishughulishe.Muombe Mungu atakupatia mchumba mwema hapa hapa jf. Amin.
 
Kaka Shark nimeipenda sana falsafa yako, huyu demu umemuuliza maswali ya msingi mno, nashangaa hajakujibu!

Inaelekea jibu lake kwa kila swali hapo ni baya ndio maana kala kona.
 
Kuna jamaa yangu ana miaka 70 hana mke na anataka kuoa. Ana sifa zote ulizozitaja, Je! uko tayari nimtonye?
 
Mwajuma kuonja kupo? si unajua dada yangu ukionja asali ndo unajenga mzinga? km kupo ni PM.
 
Wakuu nadhani mnaongea na mtu ambae tangia March hajaingia humu, nadhani kama mtu upo serious tumia hizo namba au hio email kuwasiliana na Mwajuma
 
Hongera kwa kupata mchumba Mwajuma (refer to majibu yako ya sms), nafikiri ni vema ukadelete hii post maana haina ishu tena.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…