Hii kasi ya watafutao wachumba hapa Jf mwezi huu naona imeongeza speed! Anyway nakutakia good sucsses , komaa nao!
Chunga sana maneno yako dogo hilo jina lako "MPUNGA" imeshatupa jibu tumekustukia huna lolote unajitangaza kiaina. Nenda kwa MACHENI MAGOMENI utawakuta wenzako