Natafuta mchumba

mbelege

Member
Joined
May 9, 2012
Posts
14
Reaction score
0
Mimi ni mwaanaume nina miaka 26, natafuta mschana ambaye naweza kuanza nae maisha, tabia njema ndio kigezo changu kikubwa, awe mwenye mapenzi ya kweli. hapokuwa nimetendwa mara kadhaa lakin sina namna because natakiwa kuwa na familia natakiwa kuwajibika kama baba wa familia. so kama kuna women mwenye tatizo kama langu lets try to solve it.
 
Mi sina tatizo kama lako ila niko interested
sasa nafanyaje? mbona hujasema way forward?
 
Nikushauri tu kama mkristo Salo sana mungu akupe kupata mke mwema kazi sana now
 
We hutaki weupe,warefu na wenye mahips?
 
yupo bibi angu ana tabia nzuri sana aliachwa na marehemu babu nae anahitaji wa kumliwaza.. upo ready?.
 
Mi sina tatizo kama lako ila niko interested
sasa nafanyaje? mbona hujasema way forward?

haya mke ushampata,
Mwali mPM....muanzie huko...usione soo.....:biggrin:
 
Ushauri wangu achana na mademu best upige Dili zako za hela,
Tulioko kwenye mahusiano tunajuta kwa kweli.

Ukitaka kufuta hayo mawazo yako ya kuoa jaribu kusikiliza wimbo wa MWANA-FA UTAOA LINI ndipo utajua kua bora ubaki ulipo Mdogo wangu!!!
 
Hey! Bro, u are 2 young, naona unatafuta frustrations tu hapa, tena humu JF ndio umepotea, the so called JF ladies, most of the are frustrated, rude and disparate na wengi wao ni wazee. U can not train an old dog new tricks, wote wameshindikana. Hit and run is the best solution, but plz condomize them. Najua watanijia mbogo............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…