Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

ungonella wa ukweli

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
4,210
Reaction score
556
Seriously, mimi ni mvulana mwenyd miaka kati ya 26-32. Natafuta msichana wa kuishi naye kama mke na mume. Naomba mwenye sifa zifuatazo. 1.awe angalau na elimu ya kidato cha nne. 2. Awe wa kabila lolote. 3. Asiwe mnene sana au mwembamba sana. 4.awe mkristo kiimani. Elimu yangu ni kati ya kidato cha sita na masters. Naomba aliye tayari ani Pm! Kama haupo serious usijaribu.
 
Je uko tayari kuoa toka nchi yoyote ya Afrika hasa Nigeria, Kenya, Bukinabe na Cameroun? Let me know ili nikupe links za hawa wadada.
 
Back
Top Bottom