Mmmhhhh hapa utatoka kapa kwa huo wasifu wako......................
Msema kweli mpenzi wa Mungu. Nkifika Kigali nitakutafuta.
Wewe ni feki nimesubiriiii weekend mpaka ikaisha sioni mtu....................nitafute bana.................ila kesho nakwenda Burundi mpaka Jumapili ndo narudi itakavyokuwa utaniambia.........................