Natafuta mchumba

Mwanaukweli

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2007
Posts
4,786
Reaction score
1,715
Mimi ni kijana miaka 32, kutoka Kigoma, wilaya ya Kasulu, kwa sasa niko Ujerumani masomoni (PhD), na natarajia kumaliza mwakani mwanzoni.

Mpaka sasa sijaoa na msichana niliyemwamini, na niliyetegemea kumuoa mara nirudipo, ameshindwa kunivumilia nikiwa mbali, amenisaliti.

Natafuta msichana ambaye ni msomi wa walau Bachelor level, asiyezidi miaka 30, mzuri, na mwenye tabia ya kufaa kuwa mke wa mtu aliye kwenye shughuli za academics.

Kwa wanaokidhi vigezo hivyo, ni PM, ukiweza ku attach picha yako ntafurahi zaidi.

I am serious
 
Love Connect ni very effective. Tangu jana nimepata pm 8, na inawezekana kati ya hao nikapata mke.
 
Hongera sana kwa hizo PM..! Kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…