Polisi ben
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 303
- 83
Duh bahati ishanipita mie naishi Mkanyageniiii.
Pengine sifa zake mtaani zina utata sasa anakimbilia mbali kwa wasiomfahamu.Kwani mtaani kwako unaishi na miti tu au? nashindwaga kuamini style hii ya kutafuta wapenzi online.
Kwani mtaani kwako unaishi na miti tu au? nashindwaga kuamini style hii ya kutafuta wapenzi online.
Kwani mtaani kwako unaishi na miti tu au? nashindwaga kuamini style hii ya kutafuta wapenzi online.
Polisi? Kikosi cha mizinga?
mkuu post 9 unatafuta mchumba kama umejiunga kwa faida ya kutafuta wachumba nenda love connect wapo wengi sana ila mkuu uwe mwangalifu wengine ni matapeli mapenda hela usishangae ukimpata kipato kinapungua kuwa mwangalifuNaitwa Ben,{32yrs} mfanyakazi pia nafanya biashara,home ni bongo"changanyikeni ila kwa sasa niko motown kikazi,natafuta mchumba mwenye umri kuanzia 20-29 aliyetayari atume sms hapa +255762229824 sipendi utani.akiwa motown au arusha ni bomba zaidi.
Sasa dogo ikiwa interest yako ni watu wa Mo/Atown na wewe ndo upo kule kule MoTown, mi naona ingekuwa poa zaidi ungeingia mtaani tu ukawatafuta kuliko kusumbua na kuzingua dada zetu hapa JF.
Sifa kubwa ya huyo demu ni ipi, au ndo akiwa 20 to 29 tayari kesha qualify?
We unataka umemalize haja zako tu kisha ule kona, huna lolote.
lazima utakuwa unauza bangi ww.
sio lazima kueleza kila kitu humu,af hilo neno dogo,koma broo
sio lazima kueleza kila kitu humu,af hilo neno dogo,koma broo
Kuna dada namfahamu yupo maeneo ulipo,ni muda mrefu sana anatafuta mtu wa kumuoa ila bahati huwa haiji kwake kwani ni mlemavu wa miguu yote pia macho hayafanyi kazi ila nitajaribu kuwasiliana nae ili akutafute na natumai Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wako na wana JF tutakuja kufurahi nawe ewe mzalendo wa mapenzi ya dhati.Naitwa Ben,{32yrs} mfanyakazi pia nafanya biashara,home ni bongo"changanyikeni ila kwa sasa niko motown kikazi,natafuta mchumba mwenye umri kuanzia 20-29 aliyetayari atume sms hapa +255762229824 sipendi utani.akiwa motown au arusha ni bomba zaidi.
Kito.mbi kapita hapa.........
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums