Ni mwanamke wa miaka 32. Dini yangu mkristo(RC), nina mtoto 1 elimu ya Chuo ni mwajiriwa/mjasiliamali natafuta mchumba (aliye serious) mwenye upendo wa dhati umri kati ya 35-40 awe ambaye hajawai kuoa aliyeajiriwa/jiajiri dini mkristo elimu yake chuo, asitumie pombe wala kuvuta sigara. Awe tayari kupima afya. Aliye serious ani PM