Ditto86 hongera kwa kujitokeza kama walivyofanya wengine na natumai utampata unayemtafuta,upo maeneo gani?-Mi ni kijana mvulana (27) natufuta mchumba wa kike, Sijali dini, kabila wala umri.
-Mi ni kijana mvulana (27) natufuta mchumba wa kike, Sijali dini, kabila wala umri.
wavulana wamelala majumbani, wanaume ndiyo wanawajibika.
Ditto86 hongera kwa kujitokeza kama walivyofanya wengine na natumai utampata unayemtafuta,upo maeneo gani?
Nna 40 years, vipi?
Dah! Hapo kwenye red umeniacha hoi,umeshajitambulisha wewe ni kijana mvulana sasa wasiwasi wa nini tena:becky:
-Mi ni kijana mvulana (27) natufuta mchumba wa kike, Sijali dini, kabila wala umri.
-Mi ni kijana mvulana (27) natufuta mchumba wa kike, Sijali dini, kabila wala umri.
co mbaya...
Una masihara wewe bibie, Uzee wote huo akupeleke wapi? Kidogo tu mara tumpumzike kwanza. Wa nini?Nna 40 years, vipi?
Una masihara wewe bibie, Uzee wote huo akupeleke wapi? Kidogo tu mara tumpumzike kwanza. Wa nini?